Ayubu 9:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kuna jambo moja. Ndiyo sababu ninasema,‘Anamkomesha mtu asiye na lawama, pia mtu mwovu.’+ Zaburi 73:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Hakika nimeusafisha moyo wangu bure+Na kuiosha mikono yangu katika kutokuwa na hatia.+ Malaki 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+
14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+