Zaburi 90:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+ Zaburi 102:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini wewe ni yuleyule, nayo miaka yako mwenyewe haitamalizika.+ 1 Timotheo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina. Waebrania 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 nawe utazikunja kama kanzu,+ kama vazi la nje; nazo zitabadilishwa, lakini wewe ni yuleyule, nayo miaka yako haitakwisha kamwe.”+
2 Kabla ya kuzaliwa kwa milima,+Au kutokezwa kwa dunia+ na nchi yenye kuzaa kana kwamba kwa maumivu ya kuzaa,+Tangu wakati usio na kipimo mpaka wakati usio na kipimo wewe ni Mungu.+
17 Sasa kwa Mfalme wa umilele,+ asiyeweza kuharibika,+ asiyeonekana,+ Mungu pekee,+ kuwe na heshima na utukufu milele na milele.+ Amina.
12 nawe utazikunja kama kanzu,+ kama vazi la nje; nazo zitabadilishwa, lakini wewe ni yuleyule, nayo miaka yako haitakwisha kamwe.”+