Mwanzo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu akasema:+ “Kuwe na nuru.” Kukawa na nuru.+ Zaburi 148:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na vilisifu jina la Yehova;+Kwa maana yeye mwenyewe aliamuru, navyo vikaumbwa.+