22 Kwa hiyo Yehova akamwokoa Hezekia na wakaaji wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru+ na kutoka mkononi mwa wengine wote na kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+
11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”