Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 32:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa hiyo Yehova akamwokoa Hezekia na wakaaji wa Yerusalemu kutoka mkononi mwa Senakeribu mfalme wa Ashuru+ na kutoka mkononi mwa wengine wote na kuwapa pumziko kuzunguka pande zote.+

  • Zaburi 91:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+

      Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+

      Nitamwokoa na kumtukuza.+

  • Matendo 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Petro akarudiwa na fahamu, akasema: “Sasa ninajua hakika kwamba Yehova alimtuma+ malaika wake na kunikomboa+ kutoka mkononi mwa Herode na kutoka katika yote ambayo Wayahudi wote walikuwa wakitarajia.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki