Zaburi 79:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+ Waroma 8:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+
2 Wamewapa ndege wa mbinguni maiti ya watumishi wako iwe chakula chao,+Na nyama ya washikamanifu wako kwa wanyama-mwitu wa dunia.+
36 Kama ilivyoandikwa: “Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa, tumehesabiwa kuwa kondoo wa kuchinjwa.”+