Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 48:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana, Tazama! wafalme wenyewe wamekutana kwa mapatano,+

      Wamepita karibu wakiwa pamoja.+

  • Luka 13:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Saa ileile Mafarisayo fulani wakaja, wakimwambia: “Toka hapa uende zako, kwa sababu Herode anataka kukuua.”

  • Luka 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ndipo Herode pamoja na askari-jeshi wake walinzi wakamfedhehesha,+ naye akamdhihaki+ kwa kumvika vazi jangavu na kumrudisha kwa Pilato.

  • Ufunuo 19:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nikamwona yule mnyama-mwitu+ na wafalme+ wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita+ na yule anayeketi juu ya farasi+ na jeshi lake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki