Mathayo 27:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 wakampa divai iliyochanganywa na nyongo+ anywe; lakini, baada ya kuionja, akakataa kuinywa.+ Marko 15:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Hapa wakajaribu kumpa divai iliyotiwa kileo cha manemane,+ lakini hakuinywa.+