14 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na mianga katika anga la mbingu ili kutenganisha mchana na usiku;+ nayo iwe ishara na kwa ajili ya majira na kwa ajili ya siku na miaka.+
45 ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni,+ kwa kuwa yeye hulichomoza jua lake juu ya watu waovu na wema na hunyesha mvua juu ya watu waadilifu na wasio waadilifu.+