Zaburi 53:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+ Mika 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikasema: “Tafadhali sikieni, ninyi vichwa vya Yakobo na ninyi viongozi wa nyumba ya Israeli.+ Je, si wajibu wenu kujua haki?+
4 Je, hakuna yeyote kati ya wale wanaotenda mambo yenye kuumiza ambaye ana ujuzi,+Wakila watu wangu kama vile ambavyo wamekula mkate?+Hata hawajamwitia Yehova.+
3 Nami nikasema: “Tafadhali sikieni, ninyi vichwa vya Yakobo na ninyi viongozi wa nyumba ya Israeli.+ Je, si wajibu wenu kujua haki?+