Zaburi 56:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+
56 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, kwa sababu mwanadamu anayeweza kufa amenikamata.+Akiwa anafanya vita mchana kutwa, yeye anaendelea kunikandamiza.+
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+