1 Samweli 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+ Zaburi 84:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ee Yehova wa majeshi, mtu mwenye furaha ni yule anayekutegemea.+
2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+