Mwanzo 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuifanya takatifu, kwa kuwa katika siku hiyo amekuwa akipumzika kutokana na kazi yake yote ya kuumba ambayo Mungu alikusudia kuifanya.+ Waebrania 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa hiyo niliapa kwa hasira yangu, ‘Hawataingia+ katika pumziko langu.’ ”+
3 Mungu akaibariki siku ya saba na kuifanya takatifu, kwa kuwa katika siku hiyo amekuwa akipumzika kutokana na kazi yake yote ya kuumba ambayo Mungu alikusudia kuifanya.+