Kutoka 7:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Musa na Haruni wakafanya hivyo mara moja,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru,+ naye akainua fimbo na kuyapiga maji ya Mto Nile machoni pa Farao na watumishi wake,+ nayo maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakageuzwa kuwa damu.+ Zaburi 78:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Na jinsi alivyoanza kubadili mifereji ya Nile iwe damu,+Hivi kwamba hawakuweza kunywa kutoka katika vijito vyao wenyewe.+
20 Musa na Haruni wakafanya hivyo mara moja,+ kama vile Yehova alivyokuwa ameamuru,+ naye akainua fimbo na kuyapiga maji ya Mto Nile machoni pa Farao na watumishi wake,+ nayo maji yote yaliyokuwa katika Mto Nile yakageuzwa kuwa damu.+
44 Na jinsi alivyoanza kubadili mifereji ya Nile iwe damu,+Hivi kwamba hawakuweza kunywa kutoka katika vijito vyao wenyewe.+