Kutoka 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Basi ikawa kwamba wakati wa jioni kware+ wakaanza kuja na kuifunika kambi, na asubuhi kulikuwa kumetokea utando wa umande kuizunguka kambi.+ Hesabu 11:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Ndipo watu wakasimama siku hiyo mchana kutwa na usiku kucha na kesho yake mchana kutwa nao wakaendelea kuokota kware. Yeye aliyeokota kidogo zaidi alikusanya homeri+ kumi, nao wakawatandaza katika eneo kubwa pande zote za kambi kwa ajili yao. Zaburi 78:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Naye akawanyeshea chakula kama mavumbi,+Hata viumbe vinavyoruka vyenye mabawa kama chembe za mchanga wa bahari.+
13 Basi ikawa kwamba wakati wa jioni kware+ wakaanza kuja na kuifunika kambi, na asubuhi kulikuwa kumetokea utando wa umande kuizunguka kambi.+
32 Ndipo watu wakasimama siku hiyo mchana kutwa na usiku kucha na kesho yake mchana kutwa nao wakaendelea kuokota kware. Yeye aliyeokota kidogo zaidi alikusanya homeri+ kumi, nao wakawatandaza katika eneo kubwa pande zote za kambi kwa ajili yao.
27 Naye akawanyeshea chakula kama mavumbi,+Hata viumbe vinavyoruka vyenye mabawa kama chembe za mchanga wa bahari.+