Zaburi 33:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Anapenda uadilifu na haki.+Dunia imejawa na fadhili zenye upendo za Yehova.+ Zaburi 104:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Anainywesha maji milima kutoka katika vyumba vyake vya juu.+Dunia imeshiba matunda ya kazi zako.+