Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi. Waroma 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.
13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi.
12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.