Mwanzo 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+ Hesabu 24:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+
3 Nami nitawabariki wale wanaokubariki, na yule anayekulaani nitamlaani,+ na familia zote za nchi zitajibariki kupitia kwako.”+
9 Aliinama chini, akalala kama simba,Na, kama simba, ni nani anayethubutu kumwamsha?+Wale wanaokubariki ndio waliobarikiwa,+Nao wale wanaokulaani ndio waliolaaniwa.”+