Waroma 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Naye anasema tena: “Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake.”+ Ufunuo 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+
4 Ni nani ambaye kwa kweli hatakuogopa wewe,+ Yehova,+ na kulitukuza jina lako,+ kwa sababu wewe peke yako ni mshikamanifu?+ Kwa maana mataifa yote yatakuja na kuabudu mbele zako,+ kwa sababu amri zako za uadilifu zimefunuliwa.”+