Waroma 8:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa maana tuliokolewa katika tumaini hili;+ lakini tumaini linaloonekana si tumaini, kwa maana mtu anapoona kitu, je, yeye hukitumainia? Waebrania 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.
24 Kwa maana tuliokolewa katika tumaini hili;+ lakini tumaini linaloonekana si tumaini, kwa maana mtu anapoona kitu, je, yeye hukitumainia?
18 ili, kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo katika hayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tupate kuwa na kitia-moyo chenye nguvu kushikilia tumaini+ lililowekwa mbele yetu.