Ayubu 37:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana yeye anaiambia theluji, ‘Anguka kuelekea duniani,’+Na pia mvua kubwa, ndiyo, mvua zake kubwa zenye nguvu.+ Zaburi 148:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Enyi moto na mvua ya mawe, theluji na moshi mzito,+Enyi pepo zenye tufani, zinazotimiza neno lake,+
6 Kwa maana yeye anaiambia theluji, ‘Anguka kuelekea duniani,’+Na pia mvua kubwa, ndiyo, mvua zake kubwa zenye nguvu.+
8 Enyi moto na mvua ya mawe, theluji na moshi mzito,+Enyi pepo zenye tufani, zinazotimiza neno lake,+