Zaburi 89:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na mbingu zitasifu tendo lako la ajabu, Ee Yehova,+Naam, uaminifu wako katika kutaniko la watakatifu. Isaya 49:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+
5 Na mbingu zitasifu tendo lako la ajabu, Ee Yehova,+Naam, uaminifu wako katika kutaniko la watakatifu.
13 Toeni kilio cha furaha, ninyi mbingu,+ na uwe na shangwe, Ee dunia.+ Milima na ichangamke kwa kilio kikuu cha furaha.+ Kwa maana Yehova amewafariji watu wake,+ naye anawaonyesha huruma watu wake walioteseka.+