Mwanzo 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ndipo Mungu akalifanya anga na kutenganisha maji yaliyo chini ya anga na maji yaliyo juu ya anga.+ Ikawa hivyo. 2 Petro 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;
7 Ndipo Mungu akalifanya anga na kutenganisha maji yaliyo chini ya anga na maji yaliyo juu ya anga.+ Ikawa hivyo.
5 Kwa maana, kulingana na kupenda kwao, wao hawalioni jambo hili, kwamba mbingu+ zilikuwapo tangu zamani za kale na dunia ikisimama imara kutoka katika maji+ na katikati ya maji+ kwa neno la Mungu;