Zaburi 72:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana atamkomboa maskini anayelilia msaada,+Pia mwenye kuteseka na yeyote ambaye hana msaidizi.+ Luka 23:46 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+
12 Kwa maana atamkomboa maskini anayelilia msaada,+Pia mwenye kuteseka na yeyote ambaye hana msaidizi.+
46 Na Yesu akaita kwa sauti kubwa na kusema: “Baba, ninaikabidhi roho yangu mikononi mwako.”+ Alipokuwa amesema jambo hilo, akakata pumzi.+