Zaburi 34:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yeye anailinda mifupa yote ya mtu huyo;Hakuna hata mmoja uliovunjwa.+ Yohana 19:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa kweli, mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”+
36 Kwa kweli, mambo haya yalitendeka kusudi andiko litimizwe: “Hakuna mfupa wake hata mmoja utakaovunjwa.”+