24 Kwa hiyo wakaambiana: “Tusilirarue, bali na tuamue kwa kura juu yake litakuwa la nani.” Hii ilikuwa ili andiko lipate kutimizwa: “Waligawana mavazi yangu ya nje, nalo vazi langu walilipigia kura.”+ Ndivyo hasa hao askari-jeshi walivyofanya mambo hayo.