Yohana 17:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako. Waebrania 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+
6 “Nimelifunua jina lako kwa watu ulionipa kutoka ulimwenguni.+ Walikuwa wako, nawe ukanipa, nao wamelishika neno lako.
12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+