Zaburi 38:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Usiniache, Ee Yehova.Ee Mungu wangu, usikae mbali nami.+ Zaburi 88:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Ee Yehova, Mungu wa wokovu wangu,+Wakati wa mchana nimepaaza kilio,+Usiku pia, mbele zako.+