Mathayo 26:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 Lakini yote haya yametukia ili maandiko ya manabii yatimizwe.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+ 2 Timotheo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—
56 Lakini yote haya yametukia ili maandiko ya manabii yatimizwe.”+ Ndipo wanafunzi wote wakamwacha na kukimbia.+
16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—