Zaburi 72:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Atashuka kama mvua juu ya majani yaliyofyekwa,+Kama manyunyu mengi yanayolowesha dunia.+ Hosea 14:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.
5 Nitakuwa kama umande kwa Israeli.+ Atachanua kama yungiyungi, na kueneza mizizi yake kama mti wa Lebanoni.