Zaburi 21:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana mfalme anategemea Yehova,+Naam, fadhili zenye upendo za Aliye Juu Zaidi. Hatatikiswa.+ Isaya 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+
5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+