Mwanzo 6:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+ Waroma 6:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.
5 Basi Yehova akaona kuwa ubaya wa mwanadamu ulikuwa mwingi duniani na kila mwelekeo+ wa fikira za moyo wake ulikuwa mbaya tu wakati wote.+
12 Kwa hiyo msiache dhambi iendelee kutawala kama mfalme+ katika miili yenu inayoweza kufa hivi kwamba mzitii tamaa+ zake.