Hesabu 16:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Na ikawa kwamba mara tu alipomaliza kusema maneno hayo, nchi iliyokuwa chini yao ikaanza kupasuka na kutengana.+ Matendo 5:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa mfano, kabla ya siku hizi Theuda alisimama, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu wa maana,+ na wanaume kadhaa, karibu mia nne, wakajiunga na chama chake.+ Lakini aliangamizwa, na wote waliokuwa wakimtii wakatawanywa na kumalizwa.
31 Na ikawa kwamba mara tu alipomaliza kusema maneno hayo, nchi iliyokuwa chini yao ikaanza kupasuka na kutengana.+
36 Kwa mfano, kabla ya siku hizi Theuda alisimama, akisema yeye mwenyewe alikuwa mtu wa maana,+ na wanaume kadhaa, karibu mia nne, wakajiunga na chama chake.+ Lakini aliangamizwa, na wote waliokuwa wakimtii wakatawanywa na kumalizwa.