Zaburi 73:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula! Mathayo 24:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena. 1 Wathesalonike 5:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+
19 Lo! Jinsi wamekuwa kitu cha kushangaza ghafula!+Jinsi wameufikia mwisho wao, wamemalizwa kwa matisho ya ghafula!
21 kwa maana ndipo kutakapokuwa na dhiki kuu+ ya namna ambayo haijapata kutukia tangu mwanzo wa ulimwengu mpaka sasa,+ hapana, wala haitatukia tena.
2 Kwa maana ninyi wenyewe mnajua vema kabisa kwamba siku ya Yehova+ inakuja sawasawa kabisa kama mwizi usiku.+