1 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+ Ufunuo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yeye atakayeshinda,+ kifo cha pili+ hakitamdhuru hata kidogo.’
29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+
11 Yeye aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yeye atakayeshinda,+ kifo cha pili+ hakitamdhuru hata kidogo.’