Yohana 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Vitu vyote vilikuja kuwako kupitia kwake,+ na bila yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuja kuwako. Kile ambacho kimekuja kuwako Yohana 8:58 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 58 Yesu akawaambia: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kabla ya Abrahamu kuwako, mimi nimekuwako.”+ Yohana 17:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo sasa wewe, Baba, nitukuze kando yako kwa utukufu niliokuwa nao kando yako kabla ya ulimwengu kuwako.+ Wakolosai 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 kwa sababu kwa njia yake+ vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana, hata viwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka.+ Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye+ na kwa ajili yake.
3 Vitu vyote vilikuja kuwako kupitia kwake,+ na bila yeye hakuna hata kitu kimoja kilichokuja kuwako. Kile ambacho kimekuja kuwako
5 Kwa hiyo sasa wewe, Baba, nitukuze kando yako kwa utukufu niliokuwa nao kando yako kabla ya ulimwengu kuwako.+
16 kwa sababu kwa njia yake+ vitu vingine vyote viliumbwa mbinguni na duniani, vitu vinavyoonekana na vitu visivyoonekana, hata viwe ni viti vya ufalme au utawala au serikali au mamlaka.+ Vitu vingine vyote vimeumbwa kupitia yeye+ na kwa ajili yake.