Mathayo 10:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+ Matendo 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 wakati uleule sikuepuka kuwaambia ninyi lolote kati ya mambo yenye faida wala kuwafundisha+ ninyi hadharani na nyumba+ kwa nyumba.
27 Lile ninalowaambia ninyi gizani, lisemeni nuruni; na lile mnalolisikia likinong’onwa, lihubirini juu ya paa za nyumba.+
20 wakati uleule sikuepuka kuwaambia ninyi lolote kati ya mambo yenye faida wala kuwafundisha+ ninyi hadharani na nyumba+ kwa nyumba.