Zaburi 21:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Tamaa ya moyo wake umempa,+Na matakwa ya midomo yake hukuyazuilia.+ Sela. Zaburi 37:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Pia upate furaha tele katika Yehova,+Naye atakupa maombi ya moyo wako.+ Yohana 16:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+ 1 Yohana 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+
24 Mpaka wakati huu wa sasa ninyi hamjaomba hata jambo moja katika jina langu. Ombeni nanyi mtapokea, ili shangwe yenu ipate kujazwa.+
14 Na huu ndio uhakika ambao tunao kwake,+ kwamba, hata tukiomba nini kulingana na mapenzi yake, yeye hutusikia.+