Zaburi 128:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+ Methali 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayelima udongo wake mwenyewe atakuwa na mkate wa kutosha,+ naye anayefuatilia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+ Waefeso 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+
2 Kwa maana utakula kazi ngumu ya mikono yako mwenyewe.+Utakuwa mwenye furaha na mambo yatakwendea vema.+
19 Anayelima udongo wake mwenyewe atakuwa na mkate wa kutosha,+ naye anayefuatilia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+
28 Mwizi asiibe tena,+ bali afanye kazi ya bidii, akifanya kwa mikono yake kazi iliyo njema,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu aliye na uhitaji.+