Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 140:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yule mwenye kuongea makuu—na asifanywe imara duniani.+

      Mtu wa jeuri—uovu na umwinde kwa mapigo yenye kurudiwa.+

  • Methali 4:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa maana wamekula mkate wa uovu,+ nao hunywa divai ya matendo ya jeuri.+

  • Habakuki 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+

  • Ufunuo 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki