Zaburi 140:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yule mwenye kuongea makuu—na asifanywe imara duniani.+Mtu wa jeuri—uovu na umwinde kwa mapigo yenye kurudiwa.+ Methali 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana wamekula mkate wa uovu,+ nao hunywa divai ya matendo ya jeuri.+ Habakuki 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+ Ufunuo 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+
11 Yule mwenye kuongea makuu—na asifanywe imara duniani.+Mtu wa jeuri—uovu na umwinde kwa mapigo yenye kurudiwa.+
8 Kwa sababu wewe mwenyewe uliyapora mataifa mengi, mabaki yote ya vikundi vya watu watakupora,+ kwa sababu ya kumwaga damu ya wanadamu na kwa sababu ya dunia kufanyiwa jeuri, mji na wale wote wanaokaa ndani yake.+
6 kwa sababu waliimwaga damu ya watakatifu na ya manabii,+ nawe umewapa damu+ wanywe. Wanastahili hilo.”+