Methali 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+ Methali 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayelima udongo wake mwenyewe atakuwa na mkate wa kutosha,+ naye anayefuatilia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+
24 Mkono wa wenye bidii ndio utakaotawala,+ lakini mkono mlegevu utakuja kufanya kazi ya kulazimishwa.+
19 Anayelima udongo wake mwenyewe atakuwa na mkate wa kutosha,+ naye anayefuatilia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+