Zaburi 72:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+ Methali 29:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mfalme hufanya nchi iendelee kusimama kupitia haki,+ lakini mtu anayekula rushwa huibomoa.+
14 Ataikomboa nafsi yao kutoka katika ukandamizaji na katika jeuri,Nayo damu yao itakuwa na thamani machoni pake.+