Kutoka 31:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nitamjaza roho ya Mungu katika hekima na katika uelewaji na katika ujuzi na katika kila aina ya ufundi,+ 1 Wafalme 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+ Yakobo 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+
3 Nami nitamjaza roho ya Mungu katika hekima na katika uelewaji na katika ujuzi na katika kila aina ya ufundi,+
29 Na Mungu akaendelea kumpa Sulemani hekima+ na uelewaji+ kwa wingi sana na ukunjufu wa moyo,+ kama mchanga ulio kando ya bahari.+
17 Lakini hekima+ inayotoka juu kwanza kabisa ni safi kiadili,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haifanyi tofauti zenye ubaguzi,+ si ya kinafiki.+