1 Wafalme 4:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+ 1 Wafalme 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na chakula cha Sulemani cha kila siku kwa ukawaida kilikuwa vipimo 30 vya kori+ vya unga laini na vipimo 60 vya kori vya unga,
7 Na Sulemani alikuwa na wasaidizi kumi na wawili juu ya Israeli yote, nao walimwandalia chakula mfalme na nyumba yake. Kila mmoja alikuwa na daraka la kuandaa chakula mwezi mmoja katika mwaka.+
22 Na chakula cha Sulemani cha kila siku kwa ukawaida kilikuwa vipimo 30 vya kori+ vya unga laini na vipimo 60 vya kori vya unga,