27 Na ikawa kwamba Yoshua akatoa amri wakati wa kutua kwa jua, nao wakawashusha kutoka juu ya miti+ hiyo na kuwatupa ndani ya pango ambamo walikuwa wamejificha. Kisha wakaweka mawe makubwa katika kinywa cha pango hilo—mpaka leo hii.
7 Na wakati nyumba ile ilipokuwa ikijengwa, ilijengwa kwa mawe ya machimbo+ yaliyomalizika tayari; na sauti ya nyundo na mashoka na vifaa vyovyote vya chuma haikusikika katika nyumba+ ile ilipokuwa ikijengwa.