Zaburi 69:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+ Zaburi 142:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama kwenye mkono wa kuume uoneKwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+ 2 Timotheo 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—
20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+
4 Tazama kwenye mkono wa kuume uoneKwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+
16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—