Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 69:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Shutuma imeuvunja moyo wangu, nalo jeraha haliwezi kuponywa.+

      Nami niliendelea kutumainia mtu fulani aonyeshe kusikitika, lakini hapakuwa na yeyote;+

      Na watu wa kufariji, lakini sikupata yeyote.+

  • Zaburi 142:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Tazama kwenye mkono wa kuume uone

      Kwamba hakuna yeyote anayenitambua mimi.+

      Mahali pangu pa kukimbilia pameangamia;+

      Hakuna yeyote anayeuliza habari za nafsi yangu.+

  • 2 Timotheo 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Katika kujitetea kwangu mara ya kwanza hakuna yeyote aliyekuja upande wangu, bali wote waliniacha+—hilo lisihesabiwe kwao+—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki