4 Nao umati uliochangamana+ uliokuwa katikati yao ukaonyesha tamaa ya uchoyo,+ na wana wa Israeli pia wakaanza kulia tena na kusema: “Ni nani atakayetupa nyama tule?+
2 Mnatamani, na bado hamna kitu. Mnaendelea kuua+ na kutamani+ kwa wivu, na bado hamwezi kupata. Mnaendelea kupigana+ na kufanya vita. Hamna kitu kwa sababu hamwombi.