12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.
14 Hata hivyo, kifo kilitawala kama mfalme tangu Adamu mpaka Musa,+ hata juu ya wale ambao hawakuwa wamefanya dhambi inayofanana na kosa la Adamu,+ aliye mfano wake yeye aliyepaswa kuja.+