19 Kwa jasho la uso wako utakula mkate mpaka utakaporudi katika udongo, kwa kuwa ulitolewa katika huo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
30 Nami nitalala pamoja na baba zangu,+ nawe unichukue toka Misri, unizike katika kaburi lao.”+ Basi akasema: “Mimi mwenyewe nitafanya kama ulivyosema.”
12 Hiyo ndiyo sababu, kama vile kupitia mtu mmoja+ dhambi iliingia katika ulimwengu na kifo+ kupitia dhambi, na hivyo kifo kikaenea kwa watu wote kwa sababu wote walikuwa wamefanya dhambi+—.