14 Basi Abramu akasikia kwamba ndugu yake amechukuliwa mateka.+ Kwa hiyo akakusanya watu wake waliozoezwa,+ watumwa mia tatu kumi na wanane waliozaliwa nyumbani mwake,+ akawafuatilia mpaka Dani.+
12 Na kila mwanamume wa kwenu wa umri wa siku nane lazima atahiriwe,+ kulingana na vizazi vyenu, yeyote aliyezaliwa ndani ya nyumba na yeyote aliyenunuliwa kwa pesa kutoka kwa mgeni yeyote ambaye si wa uzao wako.