1 Wakorintho 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+ 1 Wakorintho 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Sasa, hata hivyo, inabaki imani, tumaini, upendo, hayo matatu; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.+
8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+
13 Sasa, hata hivyo, inabaki imani, tumaini, upendo, hayo matatu; lakini lililo kubwa zaidi kati ya hayo ni upendo.+